P.O. Box 346, Dodoma, Tanzania Sabato: 8:00 AM – 1:00 PM
Imani ya 26

Mauti na Ufufuo

26. Mauti na Ufufuo

Mshahara wa dhambi ni mauti. Lakini Mungu, ambaye peke yake hapatwi na mauti, atawapa uzima wa milele waliokombolewa wake. Mpaka siku hiyo mauti ni hali ya kutokuwa na fahamu kwa watu wote. Wakati Kristo, aliye uzima wetu atakapotokea, wenye haki waliofufuliwa na wenye haki walio hai watavikwa utukufu na kunyakuliwa juu ili kumlaki Bwana wao. Ufufuo wa pili ni ufufuo wa waovu, utatokea miaka elfu moja baadaye

Mafungu ya Biblia

Warumi 6:23; I Tim. 6:15, 15; Mhu. 9:5, 6; Zab. 146:3, 4; Yoh. 11:11 – 14; Wakol. 3:4; IWakor. 15:51 – 54; IWathes. 4:13 – 17; Yoh. 5:28, 29; Ufun. 20:1 – 10